Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima (kulia) akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni Ikulu ya Entebbe, Uganda tarehe 25 Septemba 2018.
Dkt. Mlima awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais Museveni
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho
