Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima, akikagua gwaride la heshima katika viwanja vya Kololo, Kampala, Uganda kabla ya kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni tarehe 25 Septemba, 2018.
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima, akikagua gwaride la heshima
Mhe. Balozi Dkt. Aziz Ponary Mlima, akikagua gwaride la heshima katika viwanja vya Kololo, Kampala, Uganda, tarehe 25 Septemba, 2018