News and Events Change View → Listing

TANZANIA NA UGANDA ZIMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA JPC

Tanzania na Uganda zimepata mafanikio makubwa kupitia Mikutano ya Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) iliyofanyika Aprili 2017 Arusha, Tanzania na Agosti 2018 Kampala, Uganda.Mafanikio yaliyopatikana…

Read More

Mafanikio makubwa yamepatikana kupitia JPC, Balozi Mwinyi

Tarehe 22 Agosti, 2018 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Mwinyi akisoma hotuba ya ufunguzi ya Mkutano wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano…

Read More

Watanzania (Diaspora) washiriki sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa EACOP

Sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa Bomba Ghafi la Mafuta la Afrika Mashariki (EACOP) zilifanyika tarehe 09 Novemba, 2017 ambapo Watanzania (Diaspora) wanaoishi Uganda walishiriki katika sherehe hizo. Mheshimiwa…

Read More

Rais Dkt. Magufuli afanya mazungumzo na Rais Museveni Ikulu jijini Dar es Salaam

Rais Museveni ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mashariki amefanya ziara ya siku moja ya kikazi nchini.Rais Museveni akizungumza na wanahabari mara baada ya kufanya mazungumzo na mwenyeji…

Read More

Uganda, Tanzania set new fast track deadline for oil pipeline

Uganda and Tanzania have agreed to further fast track their plans for the construction of the $3.5 billion East Africa crude oil project. The ministers of Energy from the two countries together with their…

Read More

Rais Magufuli Awasili Uganda, Afanya Mazungumzo na Rais Yoweri Museven

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21 February, 2018 amewasili nchini Uganda ambapo atahudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika…

Read More

How Uganda-Tanzania pipeline to benefit citizens

Tanga. Thousands are set to benefit from the implementation of the construction of the oil pipeline, particularly, a 461-kilometre long stretch, running between Handeni-Kijungu-Chemba-Kwamtoro-Singida.Works,…

Read More

Rais Magufuli amaliza ziara ya siku 3 Uganda, Rais Museveni atoa tamko dhidi ya ICC

Rais Magufuli amaliza ziara ya siku 3 Uganda, Rais Museveni atoa tamko dhidi ya ICC. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye gwaride la Kimya…

Read More