Recent News and Updates
WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 200 KUTOKA TANZANIA, WANUFAIKA NA FURSA ZA MASOKO NCHINI UGANDA.
Maonesho ya 22 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) maarufu kama “Juakali” yalifanyika katika viwanja vya Kololo kuanzia tarehe 8 hadi 18 Desemba, 2022. Maonesho hayo yaliyoongozwa na kauli mbiu “Nunua Bidhaa za Afrika… Read More