Spika wa Bunge la Jamhuri ya Uganda Mhe.Rebecca Kadaga akisaini kitabu cha maombolezo
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Uganda Mhe.Rebecca Kadaga akisaini kitabu cha maombolezo ya Hayati Dkt.John Pombe Magufuli katika viwanja vya Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda.